Suche einschränken:
Zur Kasse

129 Ergebnisse - Zeige 1 von 20.

How Baboons bottoms became bare

Barsagau, Doreen Jebet
How Baboons bottoms became bare
How Baboon's bottom became bare and other stories is a collection of well-loved African folktales explaining how nature came to be. How did the Baboon's bottom become bare? How did Zebra get her beautiful stripes? How did Tortoise's shell get so cracked? Find out the answers to these questions in these humorous and unforgettable stories.

CHF 29.90

Kijana Aliyeuza Hekima

Hua, Sun Bao
Kijana Aliyeuza Hekima
Kipi cha muhimu zaidi duniani? Pesa? Nyumba kubwa ama gari kubwa? Katika mojawapo ya ngano katika mkusanyiko huu, kutana na kijana ambaye anauza bidhaa zisizoonekana... Kijana Aliyeuza Hekima ni mkusanyiko wa ngano kutoka pembe nyingi za dunia ambazo zimehadithiwa kwa njia ya kipekee inayozipa mvuto wa aina yake.

CHF 35.50

Out of the Box

Ndiritu, Ngure Matu
Out of the Box
Out of the Box is a collection of fun, easy-to-read stories and thoughts of 8-year-old Ngure Matu Ndiritu. They are funny, fresh and there's even some French! Kids and grownups alike will have a wonderful time catching up with these exciting tales. Hop on and ride along!

CHF 35.50

Dragon's Flames

Kimiti, Patrick
Dragon's Flames
A young couple is preparing for marriage when the bride-to-be is defiled by a business tycoon. The courts fail to dispense justice and the victim ends up in an accident that leaves her severely paralysed. The groom's father, a prominent scientist, decides on revenge. He breeds a deadly virus meant to decimate the cattle in Mountain Farm, an extensive ranch owned by the defiler. But for the scheme to succeed, he has to enlist the help of Boma, ...

CHF 30.90

Mama wa Kambo

Kisovi, Catherine N. M.
Mama wa Kambo
Konelia anajivunia mtoto wake Kalaa na kumtakia ufanisi maishani. Lakini karibuni msiba unamkumba. Bibiye Maua, mamake Kalaa, anaanga dunia. Katika jitihada za kumwondolea Kalaa usumbufu anaoa tena. Uhusiano wa Kalaa na mamake wa kambo, Kitete, utakuwaje?

CHF 29.50

Nyumba ya Sungura

Kimunyi, Njiru
Nyumba ya Sungura
Sungura amejenga nyumba maridadi ili aweze kufanya harusi yake humo. Lakini kuna adui aliyekatalia ndani. Anatafuta usaidizi kwa wanyama wenzake lakini wanashindwa kumfukuza. Atafanya nini?

CHF 28.50

The tales of Wamugumo

Kuguru, Peter Ngibuni
The tales of Wamugumo
Wamugumo was the most famous story-teller among the Kikuyu people and his life itself became a legend. He was the biggest and strongest man that had ever been known, and he also had the largest appetite. The stories he told were master-pieces of humour, excitement and education. Peter Kuguru's book retains the wonderful flavour and magic of Wamugumo's stories.

CHF 39.90

Mtu wa Mvua

Walibora, Ken
Mtu wa Mvua
Dora yumo nyumbani ambamo amelazimika kubaki ili kuwachunga ng'ombe wao kutokana na ukosefu wa mfanyakazi mzuri. Halafu siku moja anamuona mtu anayetembea kwenye mvua bila kuguswa na tone la mvua. Anamshawishi mamaye wamwalike mtu huyu nyumbani. Mgeni anakubali kuandikwa kazi na Dora anarudi shuleni. Mtu huyu, Okungu, anaishia kuwa na vipawa vya ajabu ambavyo vinaisaidia jamii ya akina Dora kwa njia kubwa. Hii ni mojawapo ya hadithi tatu za ku...

CHF 29.50

Marafiki wa Pela

Mpesha, Nyambura
Marafiki wa Pela
Pela anawapenda wanyama. Siku moja mvua kubwa inanyesha na kuangusha mti mkubwa nje ya nyumba yao. Asubuhi Pela anatengeneza nyumba kutokana na matawi na majani ya mti huu na kuwaalika marafiki wake - Ndege, Kuku, Paka na Mbwa. Asichokijua ni kuwa hawa marafiki hawawezi kukaa pamoja, jambo linalomhuzunisha sana.

CHF 25.50

Mungu Nisaidie

Kimunyi, Njiru
Mungu Nisaidie
Simba ana njaa kali. Anataka kumfanya Swala kitoweo chake. Wote wanaomba kwan unyenyekevu na uvumilive, "Mungu nisaidie." Ni nani atapata kusaidiwa? Chunguza kujua nini kinatokea kwa Simba, Mungu alimsaidia?

CHF 26.50

The Town Tricksters

Mwaurah, D. M.
The Town Tricksters
The Town Tricksters is the story of a hard-headed boy who is expelled from school for indiscipline and ostracised by the elders of the village. He takes off to the city where he undergoes several experiences that with compelling inevitability lead to his death. Beneath this simple story is the tensions of modern Africa - her fragmentation into the rural and the urban, the traditional and the modern segments.

CHF 26.50

Chura na Mjusi

Mpesha, Nyambura
Chura na Mjusi
Chura na rafiki yake wanatayarisha karamu kwa marafiki wao. Lakini tamaa yake Chura yapita kiasi. Anajaribu hila ili aile minofu yote, lakini kitendo hiki kinaishia kumtia kwenye hatari. Nini kitaendela?

CHF 24.50

Asiyesikia la Mkuu

Juma, Peter
Asiyesikia la Mkuu
John anajipata matatani kwa kutotilia maanani anayoshauriwa na wavyele wake. Kumbe kila hatia ina madhara yake! Soma hadithi hii ya kuvutia uepukane na majuto. Hiki ni kitabu cha kusisimua kusoma.

CHF 27.90

Mbweha Pacha

Attas, Ali
Mbweha Pacha
Ni tabia njema kuomba ruhusa kabla ya kuchukua kitu cha mtu. Mbweha pacha wanaona matunda, matango, katika shamba la mkulima. Mbweha hao wanachukua matunda hayo bila ruhusa ya mkulima. Je, unajua ni nani alifichulia mkulima kuwa mbweha pacha wameiba matunda yake? Je, mkulima alifanyaje mbweha pacha? Soma uburudike hadithi hii ya mbweha pacha na matango matatu.

CHF 26.90

Safari ya Kombamwiko

Kariuki, Emmanuel
Safari ya Kombamwiko
Kombamwiko alikuwa akiishi kwa raha mustarehe na wazazi wake kijijini. Ngoja basi siku moja akutane na Faragano, mende mmoja mjuaji, ambaye alimsifia Kombamwiko kuhusu maisha matamu ya mjini, kulingana na yale ya 'kijinga' ya kijijini kwao. Hadi Kombamwiko akaamua kwenda huko mjini akajionee mwenyewe uhondo, dhidi ya pingamizi za wazazi wake. Safari ikaanza. Kumbe, lahaula! Mambo sivyo kama alivyotarajia! Walikumbwa na visa na mikasa, wakatese...

CHF 38.90

A broom for the Olive

Esabwa, Tophico Wilson
A broom for the Olive
Winning an essay-writing competition is great news for Ameyo. But as she prepare to travel to Mombasa for the the award-presentation ceremony, she is least prepared for the crime-buster role she is going to play...

CHF 39.90

The Great Siege of Fort Jesus

Cuth, Valerie
The Great Siege of Fort Jesus
The long siege of Fort Jesus by the Omani Arabs between 1689 and 1698 is the setting for this remarkable historical reconstruction by Valerie Cuthbert. For the first time, this great set-piece of East African history comes fully alive as we join the varied inhabitants of the Fort in their horrific ordeal. Muslim and Christians, soldier and priest, lover and loved, African and Arab, all have their parts to play in this exciting story as the def...

CHF 30.50

Monzi and Mama's Stories

Feddema, Sonya VanderVeen
Monzi and Mama's Stories
Monzi has lived a quiet loving life with his mother. Then things go wrong and he has to be a refugee. The stories Mama used to tell him will be his comfort through the hard journey...

CHF 28.50

The Lonely Black Pig

Matindi, Ann
The Lonely Black Pig
These delightful stories will enhance Anne Matindi's growing reputation as one of East Africa's foremost writers for children. One of her first books has already been translated into Swahili language.

CHF 28.90