Suche einschränken:
Zur Kasse

129 Ergebnisse - Zeige 21 von 40.

Karamu Mbinguni

Kimunyi, Njiru
Karamu Mbinguni
Kutokana na sifa zao njema kwake Mwenyezi Mungu, ndege wamepata mwaliko wa kutalii mbinguni. Wamepewa uwezo wa kuyabadilisha maumbile yao vile wanavyotaka. Katika kufanya hivi, wengine kama Bundi wanaongozwa na nia mbaya. Mzee Kobe naye anadanganya kuwa ukoo wake ulitokana na ndege. Kwa wale wenye nia safi, karamu ya mbinguni inaishia kuwa furaha isiyo kimo. Wenye nia mbaya nao wanaupata mshahara wa vitendo vyao. Chongameno ni kijana mchungaji...

CHF 28.90

Mfuko Wangu U Wapi?

Manji, Akberali
Mfuko Wangu U Wapi?
Juma anataka kufanya kazi aliyopewa na mwalimu. Lakini mfuko uliokuwa na vitabu haupatikani. Anatafuta kila pembe haupati. Umepotelea wapi? Hiki ni kitabu cha kusisimua kusoma

CHF 28.50

Tajiri Mjanja

Omolo, Leo Odera
Tajiri Mjanja
Bwana Leo Odera Omolo ambaye alikusanya hadithi hizi ni mmoja kati ya waliojitolea kurekebisha kazi ya utumiaji wa lugha ya Kiswahili, nalo hili ni toleo la aina ya kusisimua, TAJIRI MJANJA ikiwa ni baadhi ya mfululizo wa HADITHI ZA KIKWETU.

CHF 26.50

Hanna na Wanyama

Mpesha, Nyambura
Hanna na Wanyama
Hanna anawathamini wanyama. Ana mbwa na paka anaowapenda. Lakini anataka wanyama zaidi. Baba yake atampa ruhusa kuwaweka? Hiki ni kitabu cha kusisimua kusoma

CHF 28.50

Usalama Barabarani

Kisia, Peter A.
Usalama Barabarani
Idadi ya watu wanaokufa kila mwaka nchini Kenya kutokana na ajali za barabarani ni kubwa mno, kiasi kwamba ni lazima kila mtu ahusishwe katika kulitafutia tatizo hili suluhisho. Kitabu hiki kinaangazia mambo fulani yanayohusu usalama barabarani kwa lugha nyepesi. Kinaeleza juu ya njia bora za kutumia barabara kwa watembeaji kwa miguu, abiria, waendeshaji baisikeli na madereva wa magari, kile kinachosababisha ajali za barabarani na jinsi ya kue...

CHF 22.90

The Adventures of Thiga

Mureithi, C. M.
The Adventures of Thiga
The Adventures of Thiga is an exciting adventure story that allegorically expresses the trials of achieving manhood. Join Thiga on his quest to uncover the truth about his life.

CHF 32.90

The Peacock and the Snake

Soi, Elija K
The Peacock and the Snake
This collection contains some of the best stories told among the Kipsigis. They are beautifully told in simplified English for those who are beginning to get familiar with the language. Read them for fun, for excitement and for good lessons on life.

CHF 26.90

Sindi and Kindi See

Mpesha, Nyambura
Sindi and Kindi See
Sindi cannot see brother Kindi. They can only touch and feel one another. What will they see when their eyes open? Read to find out what happens next to Sindi and Kindi.

CHF 30.50

Safari ya Usiku

Mugambi, Hezron
Safari ya Usiku
Kemunto ana vipawa ajabu katika utunzi na uimbaji wa mashairi. Anaelekea kutambulika katika wilaya na mkoa...hadi anapokutana naye Makena, kijana wa kitajiri aliyedekezwa na wazazi wake. Kushiriki kwake mambo ya kimapenzi katika umri wake kutamwelekeza wapi Kemunto?

CHF 25.90

Zani na Zuma Mashakani

Mbatia, Mwenda
Zani na Zuma Mashakani
Mchezo wa kupata shabaha umepata umaarufu sana katika kijiji cha Chaka. Wakati huo huo, uwanja wa Shule ya Msingi ya Chaka umejaa mifugo na wachungaji, wanaokuja uwalisha mifugo na pia kucheza mchezo huo. Je, mchezo huo utaleta mashaka? Je, ni kipi kinachowasukuma vijana kukiuka sheria za msitu? Na je, watapata adhabu gani kwa kuvunja sheria za msitu huo? Soma hadithi hii upate uhondo.

CHF 31.50

Flame Tree Market

Farrell, Patricia
Flame Tree Market
Amos Amoke goes to work, as usual, only to find his barber shop gone. "How will I feed my family?" he cries. But with good advice from his wife, he begins to work under a flame tree, and soon a market is born. A touching story about the need for strength and emotional support to survive hard times. Recommended for ages 8-10 years.

CHF 27.50

Hare and the Princess

Mpesha, Nyambura
Hare and the Princess
The Princess wants to be married by a clever, wise person. The test is that he should be able to drink hot boiling water. Many men, young and old, rich and poor, try their luck but cannot drink the boiling water. Then comes Hare. He discovers a trick by which the water can be made cool. The Princess accepts him on account of this cleverness and marries him. This is a traditional African tale retold expertly by Nyambura Mpesha, the foremost of ...

CHF 27.90

Harusi ya Panya

Njenga, Ann
Harusi ya Panya
Kafiya ni panya mrembo sana na mwenye maringo mengi. Anawavutia jogoo, chura, mbwa, paka na panya jirani. Wanyama hawa wanang'ang'ania kumuoa lakini kwa sababu ya maringo yake Kafiya anawakataa baadhi yao ila tu mmoja. Je, ni nani atakayemuoa Kafiya? Je, ni nani atakayeunganisha ndoa yao? Soma hadithi hii ya Harusi ya Panya unufaike.

CHF 29.50

Uongo Uliozaa Jitu

Kawegere, Fortunatus F
Uongo Uliozaa Jitu
Wazazi wake Chereko wana nia moja tu kwake huyu mtoto: kumfanya mtu wa kusema ukweli daima kamwe. Ni yapi yatampata akikosa kuzingatia hili? Hiki ni kitabu cha kusisimua kusoma kwa kila wanafubzi

CHF 30.90

Mama is Sweet

Bosire, Sheila
Mama is Sweet
Tommy loves his parents. He thinks his mother is as sweet as an orange! But he also loves adventure. On his visit to a local railway station he gets curious to know how long the train is. In an attempt to find this out he gets lost. Unfortunately, he doesn't know his real name, or those of his parents, and getting help becomes tricky.

CHF 31.50

Kachuma na Polisi wezi

Ngugi, Patrick
Kachuma na Polisi wezi
Nicky Kachuma, kijana wa darasa la saba katika Shule ya Msingi ya Toredi, amefukuzwa shuleni kwa kukosa karo. Akiwa njiani kuelekea nyumbani anashuhudia gari la benki likivamiwa na wezi na pesa zote kuibwa. Anawajulisha polisi wanaochangamkia jambo hilo. Je, Kachuma atauawa au ataokoa pesa kupotea? Soma ili ufurahie uhondo huo.

CHF 33.90

Sindi Goes Out

Mpesha, Nyambura
Sindi Goes Out
Sindi is curious. She wants to see, touch and understand. What will she find when she steps out of the drey that she shares with her mother and brother Kindi?

CHF 25.50

Watch Out Man Mtu!

Makumi, Joel
Watch Out Man Mtu!
The lives of plants and animals are in danger. In some parts of the earth the forests and grasslands are drying. The animals and the insects are dying, too. Who is causing all this? What hope is there?

CHF 33.50

The Proud Ostrich

Njoroge, J K
The Proud Ostrich
These delightful and humorous stories make a perfect introductory reader ¿for primary schools. They are also unique perspectives through the lens of stories from Africa.

CHF 32.90