Suche einschränken:
Zur Kasse

129 Ergebnisse - Zeige 81 von 100.

Kishu Kazi

Kitsao, Hayati Jay
Kishu Kazi
Hadithi ya kwanza, Kishu kazi, inamhusu mkulima mwenye bidii, ambaye daima kisu kilikuwa hakimtoki kiunoni, na alipoulizwa, siku zote alijibu "Kishu kazi, kuna siku kindapata kazi." Hata ikawa amebandikwa jina 'Kishu Kazi'. Lakini siku alipovamiwa na wezi, ndipo walishuhudia kikifanya kazi kishu kazi. Hadithi ya Sungura mjanja, kama jina linavyodokezea, inahusu sungura na jinsi anavyojishinda mwenyewe mwishowe kwa werevu wake wa kupindukia kiasi.

CHF 42.90

Siku na Miezi

Mdari, Angelina
Siku na Miezi
Kitabu hiki kimeandikwa hususan kwa watoto ili kuwasaidia kwa matamshi na mtiririko wa maneno. Kinafunza siku za juma na miezi ya mwaka kupitia mashairi na uwiano wa mancno. Zaidi ya hayo, kinalenga ubwiji wa lugha na matamshi kupitia mbinu ya marudio.

CHF 37.50

Eyes of the Night

Mueni, Rose
Eyes of the Night
Jani cannot catch sleep. She gets up and looks through the window, only to be met by a sight she has not seen before. Unknown to her, she is on the verge of an adventure such as she has never imagined. By morning she will have developed "eyes of the night". What is this adventure? Who else will be there?

CHF 32.50

Siku ya Wajinga

Momanyi, Clara
Siku ya Wajinga
Zito anausifu ujinga. Darasani imekuwa ni kushikilia nikia kila kunapofanywa mtihani. "Sikiza, " anamwainbia rafiki yake Sadiki. "Ukiwa daktari, utanihudumia nikiwa mgonjwa. Ukiwa mwalimu, utafundisha wanangu, na ukiwa wakili, utanisimamia katika kesi zangu... Katika kazi yoyote ile utakayoajiriwa kufanya, utakuwa ukitutumikia sisi wajinga..." Lakini siku ya kupata funzo kuwa ujinga haulipi imo njiani....

CHF 22.90

Jessicah

Farrell, Patricia
Jessicah
After losing her mother, Jessicah leaves for Nairobi in search of a father she has never known. In the city, she encounters Granny Zippo, a woman full of wisdom and friend to children who survive by picking through a mountain of garbage known as Menengai. Jessicah joins the children and shares in their adventures.

CHF 29.50

The Return of Njaga

Makumi, Joel
The Return of Njaga
Njaga the Town Monkey is back, this time with a son, Koki. Join them as they seek out Swaluku, Mama Njenje's grandson, when they visit the coast as tourists, and as Koki acts out his boyhood antics.

CHF 37.90

Operation Kamaliza

Katui, Munro
Operation Kamaliza
The peace that Eldoret town has known is suddenly shattered by the intriguing murder of a schoolgirl. Inspector Philip Mungai is hardly on the trail of the murderer when a second violent death occurs - of the young man who had sold the poison partly used in the murder of the first victim. In a matter of days, another murder and a kidnap are recorded. The suspect in all these crimes is a certain Kamaliza. Who is he? The police are in for a grue...

CHF 38.50

Faidika na Methali, Nahau na Vitendawili

Ali, Ali Abdulla
Faidika na Methali, Nahau na Vitendawili
FAIDIKA NA METHALI, NAHAU NA VITENDAWILI ni kitabu kilichoandikwa kwa ajili ya wanafunzi wa Kenya. Hata hivyo, kinaweza kutumika katika nchi yoyote ya Jumuia ya Afrika Mashariki na penginepo Kiswahili kinapozungumzwa. Katika mkusanyo huu, wanafunzi wa Shule za Msingi pamoja na walimu wao wataweza kufaidika kwa kuwa na kitabu kimoja chenye fani hizi - methali, nahau na vitendawili - zote katika fumbato moja. Msomaji anapokimaliza vyema kitabu h...

CHF 61.00

Greedy Tumbo

Boruett, William K.
Greedy Tumbo
Tumbo Mbele is the meanest man in his village. Despite being very rich, he wants to deceive Sortich out of land left to him by his grandparents. A struggle follows and it is only when the District Commissioner comes in that Sortich is able to get his land back. The other stories in this collection explore the twists that occur in life. Tom in Denis Kevin loses his child after separating from his wife, only to be joined with him in a far-away h...

CHF 40.50

Cock and Lion

Kyendo, Kalundu
Cock and Lion
This is a collection of lovely tales which should appeal to children between the ages of six and nine years. These are exceptionally crafted short stories that are fascinating

CHF 30.90

Onyango's Triumph

Omolo, Leo Odera
Onyango's Triumph
Onyango's grandmother, a traditional medicinewoman, would like Onyango to follow in her footsteps. But his father has different plans for him, he wants his son to be educated to keep up with the changing world. This is the story of Onyango's school days, full of excitement and adventure, and with a very happy ending.

CHF 31.50

Two Foolish Bulls

Gathumbi, Agnes W.
Two Foolish Bulls
Njiru and Njeru are two bulls who love each other dearly. They are also more fierce than the other animals in the forest. Will the animals find a way of getting rid of them? Find out in this exciting tale of the Two Foolish Bulls!

CHF 36.50

Kamuniak and Ori

Mpesha, Nyambura
Kamuniak and Ori
Ori the baby oryx has just been born. His mother has to run away to save herself from Kamuniak the lioness. What will happen to poor Ori in the wild?

CHF 29.90

Curious kokorioko

Majale, Theresa / Mweti, Hellen
Curious kokorioko
Kokorioko, or Koko as he is known to his family, is curious about many things. He wants to study the animals and insects surrounding him. His interest in a strange cock leads to his kidnap by Wa Chaki the magician. Will he ever be rescued? Chaki the parrot holds the secret...

CHF 30.90

David and Goliath

Munala, Oliver
David and Goliath
Who will defeat Goliath, the champion of the Philistines? All the soldiers of Israel are afraid until a young shepherd boy called David bravely challenges the giant. This beautifully illustrated Bible story will encourage children to have faith and be courageous, just like David who faced the giant Goliath with only a sling and five stones.

CHF 32.50

The Promise

Rwakasisi, Rose / Barungi, Violet
The Promise
READ ME SERIES are stories for children written and designed to encourage children to enjoy reading and to substitute the lost fireside experiences of the past. They are intended to bridge the gap between the past and present generations. Tegura is a young boy who loves and saves animals from his brother's traps. One day a beautiful girl is caught in one of the traps and Tegura rescues her. The two fall in love and get married but his wife has...

CHF 32.50

The Pet Snake

Mukunyi, Dickson
The Pet Snake
This collection of stories makes wonderful reading for upper primary classes. Dickson Mukunyi, himself a primary school teacher, originally wrote them for use in his own school and later decided to publish them. He comes from Nyeri District in Central Kenya, where many of the stories are located.

CHF 28.50

The Hide and seek Game

Njagi, S. Wambeti
The Hide and seek Game
As the two girls searched for the boys in the house, Murimi and Kariuki saw a suspicious stranger with a limp talking on his mobile phone. Who is this man? What was he talking about? What was he up to?

CHF 27.90

The Girl Who Became Chief

Isoka, Amos O.
The Girl Who Became Chief
Isoka Kadogo is a healthy, intelligent ten-year-old girl who lives near Mt. Elgon. Her people live in fear of a fierce, ugly monster. The best hunters are unable to get rid of it but Kadogo uses a clever trick to kill it. The people are so happy that they make her the chief.

CHF 30.50

Ngamia Mpole

Nandwa, Rebecca
Ngamia Mpole
Je, umewahi kubebwa na ngamia? Nani alikulipia pesa kwa mwenye ngamia ili akuruhusu ubebwe na ngamia wake? Je, ngamia huyo alikuchokoza? Ngamia ni mnyama mkubwa sana lakini mpole. Yeye hachokozi watu. Hadithi, 'Ngamia Mpole' inawahusu watoto wawili: Bonga na dada yake, Sakina, ambao walibebwa na ngamia wakafurahi sana. Hata hivyo, waliweza kuzungumza na ngamia huyo.

CHF 27.90