Suche einschränken:
Zur Kasse

Fasihi na Ulemavu

Mahenge, Elizabeth

Fasihi na Ulemavu

Fasihi na Ulemavu: Uchambuzi wa Methali za Kiswahili ni kitabu kinachochambua methali za Kiswahili zenye kutaja ulemavu. Je ni ulemavu wa aina gani unaotajwa katika methali hizo? Kwa nini utajwe ulemavu huo na sio mwingine? Kwa nini aina fulani ya ulemavu inajitokeza zaidi ikilinganishwa na aina zingine za ulemavu? Soma kitabu hiki ufahamu majibu ya maswali haya.

CHF 12.50

Lieferbar

ISBN 9781300841739
Sprache swa
Cover Kartonierter Einband (Kt)
Verlag Lulu.com
Jahr 20130315

Kundenbewertungen

Dieser Artikel hat noch keine Bewertungen.